FANGASI SUGU.


 *UTAJUAJE KAMA UNA FANGASI SUGU??* 👇👇

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una dalili za kua na fangasi ukeni kama zifuatazo;


1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara


2.Vipele vidogo vidogo ukeni


3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya 


4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni


5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni


6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.


7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.


8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.


Je una dalili hizi tunayo tiba inaitwa FEMICARE kwa ajili ya wanawake ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu eneo la siri.


Kwa msaada wa hitaji lako kuhusu tiba hii tupigiee,,0675601966.

http://wa.me/0675601966

"AFYA YAKO NI MTAJI WAKO, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA

No comments

Powered by Blogger.
a