FAIDA ZA TANGAWIZI MWILINI.


 FAIDA 48 ZA TANGAWIZI MWILINI;


wengi wetu tumekua tukitumka tamgawizi kama kiungo kwenye vyakula mbalimbali hasa chai lakini hatukuweza kujua faida zake upande wa afya zetu.

Tafiti kadha wa kadha zimefanyika na zimeainisha yafuatayo juu ya matumizi ya tangawizi. 


1. Huondoa sumu mwilini haraka sana


2. Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi


3. Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi


4. Huondoa uvimbe mwilini


5. Huondoa msongamano mapafuni


6. Tangawizi inayo ‘zingibain’ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake


7. Huondoa maumivu ya koo


8. Huua virusi wa homa


9. Huondoa maumivu mbalimbali mwilini


10. Huondoa homa hata homa ya baridi (chills)


11. Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimeng’enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho ‘5-LO enzymes’ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimeng’enya.


12. Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu kama ‘gingerol”


13. Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-related cancer)


14. Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia)


15. Ni dawa nzuri dhidi ya kansa ya mapafu (lung cancer)


16. Huzuia kujizalisha kwa bakteria aitwaye ‘Helicobacter pylori’, bakteria huyu ndiye husababisha vidonda vya tumbo mwilini, pia hutibu kiungulia, na kanza mbalimbali za tumbo


17. Ni msaada sana katika kuzuia na kutibu kansa ya titi

18. Hutibu kanza za kwenye kizazi na kanza za kwenye mirija ya uzazi


19. Huongeza msukumo wa damu


20. Husaidia kuzuia shambulio la moyo


21. Huzuia damu kuganda


22. Hushusha kolesto


23. Husafisha damu


24. Husaidia watu wenye kukakamaa kwa mishipa


25. Hutibu shinikizo la juu la damu


26. Husafisha utumbo mpana


27. Hupunguza mishtuko kwenye utumbo mpana na tumbo kuunguruma


28. Huondoa GESI TUMBONI KIRAHISI ZAIDI


29. Husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula


30. Dawa nzuri ya kuondoa uchovu


31. Husaidia kuzuia kutapika. Husaidia hata wale wanaosafiri baharini wasipatwe na kichefuchefu


32. Husaidia kuondoa maumivu kutokana na mkao mmoja wa mrefu ama kusimama au kukaa


33. Husaidia uzalishwaji wa juisi vimeng’enya kwa ajili ya kumeng’enya chakula


34. Husaidia kuzuia kuharisha


35. Husaidia mfumo wa upumuaji na kutuliza dalili za pumu


36. Hutibu tatizo la miguu kuwaka moto


37. Hutibu homa ya kichwa


38. Hutibu maumivu ya tumbo wakati wa hedhi


39. Hutibu homa za asubuhi hata kwa mama mjamzito


40. Husaidia kupunguza homa ya baridi yabisi (helps reduce inflammation of arthritis)


41. Huimarisha afya ya figo


42. Husaidia kupunguza uchovu unaotokana na matibabu yaliyopita ya mionzi


43. Ina madini ya potassium ya kutosha


44. Ina madini ya manganese ambayo ni mhimu katika kuuongeza mfumo wa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali.


45. Ina kitu kinaitwa ‘silicon’ ambacho chenyewe kazi yake hasa ni kuongeza afya ya ngozi, nywele, meno na kucha


46. Husaidia umeng’enywaji wa madini ya calcium


47. Pia ina vitamini A, C, E, B-complex, chuma, zinki , magnesium, phosphorus, sodium, calcium, na beta-carotene


48. Hulinda kuta za moyo, hulinda mishipa ya damu na mishipa ambako mikojo hupita.

Kwa mawasiliano zaidi ,,piga/text/watsaph 0675601966.

No comments

Powered by Blogger.
a